KURA ZAANZA KUPIGWA DIAMOND JUBILEE, JESHI LA MIAMVULI MAMBO SWAAFII

Yussuf Mehoob Manji amekamilisha zoezi la wagombea kujieleza katika kuomba kura kwa wanachama, na sasa zoezi la kupiga kura linaanza ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Hadi sasa upepo unaonyesha ‘Jeshi la Miamvuli’ litapeta. Yussuf Manji (Mwenyekiti), Clement Sanga (Makamu Mwenyekiti) na Wajumbe Mussa Katabaro, Lameck Nyambaya, Abdallah Bin Kleb na George Manyama. 

Comments